34 Kwa sababu hiyo, ninawatuma kwenu manabii+ na watu wenye hekima na walimu wa watu wote.+ Baadhi yao mtawaua+ na kuwatundika kwenye miti, na baadhi yao mtawapiga mijeledi+ katika masinagogi yenu na kuwatesa+ katika jiji baada ya jiji,
19 Lakini Wayahudi wakafika kutoka Antiokia na Ikoniamu wakaushawishi umati,+ nao wakampiga Paulo kwa mawe na kumkokota nje ya jiji, wakiwazia kwamba amekufa.+
5 Lakini Wayahudi wakawa na wivu,+ wakakusanya wanaume fulani waovu waliokuwa wakizurura sokoni, wakafanyiza kikundi chenye ghasia kisha wakazusha fujo jijini. Wakaishambulia nyumba ya Yasoni wakitaka Paulo na Sila waletwe nje kwenye kile kikundi.