Matendo 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Walipofika, walienda kwenye chumba cha juu, walipokuwa wakikaa. Walikuwa Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Tomasi, Bartholomayo, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni mwenye bidii, na Yuda mwana wa Yakobo.+
13 Walipofika, walienda kwenye chumba cha juu, walipokuwa wakikaa. Walikuwa Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Tomasi, Bartholomayo, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni mwenye bidii, na Yuda mwana wa Yakobo.+