Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 10:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ndipo Petro akaanza kuzungumza, akasema: “Kwa hakika ninaona kwamba Mungu hana ubaguzi,+ 35 lakini katika kila taifa mtu anayemwogopa na kutenda uadilifu anakubaliwa naye.+

  • Matendo 11:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo nikakumbuka maneno aliyokuwa akisema Bwana: ‘Yohana alibatiza kwa maji,+ lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu.’+ 17 Kwa hiyo, ikiwa Mungu aliwapa zawadi ileile ya bure kama alivyotupatia sisi ambao tumemwamini Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani hata niweze kumzuia* Mungu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki