Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mimi ninawabatiza kwa maji kwa sababu mmetubu,+ lakini yule anayekuja baada yangu ana nguvu kuliko mimi, nami sistahili kuvivua viatu vyake.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+

  • Marko 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Niliwabatiza ninyi kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa roho takatifu.”+

  • Luka 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yohana akawajibu: “Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini anakuja mwenye nguvu kuliko mimi, ambaye sistahili kufungua kamba za viatu vyake.+ Yeye atawabatiza kwa roho takatifu na moto.+

  • Matendo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa maana Yohana, kwa kweli, alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu+ baada ya siku chache.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki