11 Mimi ninawabatiza kwa maji kwa sababu mmetubu,+ lakini yule anayekuja baada yangu ana nguvu kuliko mimi, nami sistahili kuvivua viatu vyake.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+
16 Yohana akawajibu: “Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini anakuja mwenye nguvu kuliko mimi, ambaye sistahili kufungua kamba za viatu vyake.+ Yeye atawabatiza kwa roho takatifu na moto.+