1 Wathesalonike 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Paulo, Silvano,*+ na Timotheo,+ kwa kutaniko la Wathesalonike walio katika muungano na Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo: Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani. 1 Petro 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kupitia Silvano,*+ ambaye ninamwona kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia kwa maneno machache, ili kuwatia moyo na kutoa ushahidi kwa bidii kwamba hizi ndizo fadhili zisizostahiliwa za Mungu. Simameni imara katika fadhili hizo.
1 Paulo, Silvano,*+ na Timotheo,+ kwa kutaniko la Wathesalonike walio katika muungano na Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo: Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani.
12 Kupitia Silvano,*+ ambaye ninamwona kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia kwa maneno machache, ili kuwatia moyo na kutoa ushahidi kwa bidii kwamba hizi ndizo fadhili zisizostahiliwa za Mungu. Simameni imara katika fadhili hizo.