Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 13:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Lakini Wayahudi wakawachochea wanawake mashuhuri waliomwogopa Mungu, na wakuu wa jiji, nao wakaanza kuwatesa+ Paulo na Barnaba na kuwatupa nje ya mipaka yao.

  • 1 Wakorintho 15:30, 31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa nini sisi pia tumo hatarini kila saa?*+ 31 Ninakabili kifo kila siku. Hili ni hakika kama ilivyo furaha yangu kwenu, akina ndugu, niliyo nayo katika Kristo Yesu Bwana wetu.

  • 2 Wakorintho 11:23-26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Je, wao ni wahudumu wa Kristo? Ninajibu kama mwendawazimu, mimi ni mhudumu kwa njia kubwa hata zaidi: Nimefanya kazi nyingi zaidi,+ nimefungwa gerezani mara nyingi zaidi,+ nimepigwa mara nyingi sana, na kukaribia kufa mara nyingi.+ 24 Mara tano nilipigwa na Wayahudi viboko 40 kasoro kimoja,+ 25 mara tatu nilipigwa kwa fimbo,+ mara moja nilipigwa mawe,+ mara tatu nilivunjikiwa na meli,+ usiku mmoja na mchana mmoja nimekaa baharini; 26 mara nyingi katika safari, hatari za kutokana na mito, hatari za kutokana na wezi, hatari za kutokana na watu wangu mwenyewe,+ hatari za kutokana na mataifa,+ hatari jijini,+ hatari nyikani, hatari baharini, hatari kati ya ndugu wa uwongo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki