Matendo 16:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Huko kulikuwa na mwanafunzi aliyeitwa Timotheo,+ mama yake alikuwa Myahudi aliyekuwa mwamini, lakini baba yake alikuwa Mgiriki, 2 na alishuhudiwa vema na akina ndugu huko Listra na Ikoniamu. 1 Wathesalonike 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 tukamtuma Timotheo,+ ndugu yetu na mhudumu wa Mungu* katika habari njema kuhusu Kristo, ili awaimarishe* na kuwafariji kuhusiana na imani yenu,
16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Huko kulikuwa na mwanafunzi aliyeitwa Timotheo,+ mama yake alikuwa Myahudi aliyekuwa mwamini, lakini baba yake alikuwa Mgiriki, 2 na alishuhudiwa vema na akina ndugu huko Listra na Ikoniamu.
2 tukamtuma Timotheo,+ ndugu yetu na mhudumu wa Mungu* katika habari njema kuhusu Kristo, ili awaimarishe* na kuwafariji kuhusiana na imani yenu,