Matendo 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Sasa Myahudi aliyeitwa Apolo,+ mzaliwa wa Aleksandria akafika Efeso; alikuwa mwanamume mwenye ufasaha na ujuzi mwingi wa Maandiko. Matendo 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Akaanza kuzungumza kwa ujasiri katika sinagogi, nao Prisila na Akila+ walipomsikia, wakamchukua na kumfafanulia kwa usahihi zaidi njia ya Mungu. 1 Wakorintho 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Makutaniko ya Asia yanawatumia salamu zao. Akila na Priska pamoja na kutaniko lililo katika nyumba yao+ wanawasalimu kwa moyo mkunjufu katika Bwana. 2 Timotheo 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Uwape salamu zangu Priska na Akila+ na nyumba ya Onesiforo.+
24 Sasa Myahudi aliyeitwa Apolo,+ mzaliwa wa Aleksandria akafika Efeso; alikuwa mwanamume mwenye ufasaha na ujuzi mwingi wa Maandiko.
26 Akaanza kuzungumza kwa ujasiri katika sinagogi, nao Prisila na Akila+ walipomsikia, wakamchukua na kumfafanulia kwa usahihi zaidi njia ya Mungu.
19 Makutaniko ya Asia yanawatumia salamu zao. Akila na Priska pamoja na kutaniko lililo katika nyumba yao+ wanawasalimu kwa moyo mkunjufu katika Bwana.