21 Baada ya kulitangazia jiji hilo habari njema na kuwafanya watu wengi kuwa wanafunzi, wakarudi Listra, Ikoniamu, na Antiokia. 22 Wakiwa huko wakawatia nguvu wanafunzi+ na kuwatia moyo wabaki katika imani wakisema: “Ni lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+