Matendo 22:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Lakini nilipokuwa safarini nikikaribia kufika Damasko, karibu katikati ya mchana, ghafla nuru kubwa kutoka mbinguni ikamulika kunizunguka,+ 7 nami nikaanguka chini na kusikia sauti ikiniuliza: ‘Sauli, Sauli, kwa nini unanitesa?’ Matendo 22:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Lakini niliporudi Yerusalemu,+ nikiwa ninasali hekaluni, nikapata njozi 18 na kumwona Bwana akiniambia: ‘Fanya upesi uondoke Yerusalemu haraka, kwa sababu hawatakubali ushahidi wako kunihusu.’+
6 “Lakini nilipokuwa safarini nikikaribia kufika Damasko, karibu katikati ya mchana, ghafla nuru kubwa kutoka mbinguni ikamulika kunizunguka,+ 7 nami nikaanguka chini na kusikia sauti ikiniuliza: ‘Sauli, Sauli, kwa nini unanitesa?’
17 “Lakini niliporudi Yerusalemu,+ nikiwa ninasali hekaluni, nikapata njozi 18 na kumwona Bwana akiniambia: ‘Fanya upesi uondoke Yerusalemu haraka, kwa sababu hawatakubali ushahidi wako kunihusu.’+