Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 9:3-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Akiwa safarini karibu kufika Damasko, ghafla nuru kutoka mbinguni ikamulika kumzunguka,+ 4 naye akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: “Sauli, Sauli, kwa nini unanitesa?” 5 Akauliza: “Wewe ni nani Bwana?” Akajibu: “Mimi ni Yesu,+ ambaye unamtesa.+ 6 Hata hivyo, inuka uende jijini, nawe utaambiwa unachopaswa kufanya.” 7 Wanaume waliokuwa wakisafiri pamoja naye walisimama wakiwa hawana la kusema, kwa kweli waliisikia sauti, lakini hawakumwona mtu yeyote.+ 8 Kisha Sauli akainuka, na ingawa macho yake yalikuwa yamefunguka, hangeweza kuona chochote. Basi wakamshika mkono na kumwongoza mpaka Damasko.

  • Matendo 26:13-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 katikati ya mchana niliona barabarani, ewe Mfalme, nuru kutoka mbinguni inayozidi mwangaza wa jua ikimulika kunizunguka mimi na wale waliokuwa wakisafiri pamoja nami.+ 14 Sisi sote tulipoanguka chini, nikasikia sauti ikiniambia katika lugha ya Kiebrania: ‘Sauli, Sauli, kwa nini unanitesa? Kuendelea kuipiga teke michokoo* kunafanya iwe vigumu kwako.’⁠ 15 Lakini nikauliza: ‘Wewe ni nani Bwana?’ Naye Bwana akajibu: ‘Mimi ni Yesu, ambaye unamtesa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki