37 Lakini Paulo akawaambia: “Walitupiga viboko hadharani bila kutuhukumu,* ingawa sisi ni Waroma,+ na wakatutupa gerezani. Je, sasa wanatufukuza kwa siri? Hapana, haiwezekani! Acha waje watutoe nje wao wenyewe.”
25 Lakini walipokuwa wamemnyoosha ili kumpiga mijeledi, Paulo akamuuliza ofisa wa jeshi aliyekuwa amesimama hapo: “Je, ni halali kwenu kumpiga mijeledi Mroma* ambaye hajahukumiwa?”*+