25 Lakini walipokuwa wamemnyoosha ili kumpiga mijeledi, Paulo akamuuliza ofisa wa jeshi aliyekuwa amesimama hapo: “Je, ni halali kwenu kumpiga mijeledi Mroma* ambaye hajahukumiwa?”*+
27 Mwanamume huyu alikamatwa na Wayahudi nao walikuwa karibu kumuua, lakini nikaja haraka pamoja na wanajeshi wangu na kumwokoa,+ baada ya kujua kwamba ni Mroma.+