Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watu watawafukuza katika masinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja ambayo kila mtu atakayewaua+ atafikiri kwamba amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.

  • Matendo 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo Sauli akaanza kulishambulia kutaniko. Alikuwa akivamia nyumba moja baada ya nyingine, akiwakokota nje wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani.+

  • 1 Wakorintho 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana mimi ni mdogo zaidi kati ya mitume, nami sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililitesa kutaniko la Mungu.+

  • Wagalatia 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Bila shaka, mlisikia kuhusu mwenendo wangu wa zamani katika dini ya Kiyahudi,+ kwamba niliendelea kulitesa sana* kutaniko la Mungu na kuliangamiza;+

  • 1 Timotheo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ingawa zamani nilikuwa mkufuru na mtesaji na mtu mwenye dharau.+ Hata hivyo, nilionyeshwa rehema, kwa sababu nilitenda bila ujuzi na sikuwa na imani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki