Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa Paulo, akijua kwamba sehemu moja ilikuwa Masadukayo na nyingine Mafarisayo, akasema kwa sauti kubwa katika Sanhedrini: “Wanaume, akina ndugu, mimi ni Farisayo,+ mwana wa Mafarisayo. Ninahukumiwa kwa sababu ya tumaini la ufufuo wa wafu.”

  • Matendo 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini sasa, kwa sababu ya tumaini la ahadi iliyotolewa na Mungu kwa mababu zetu,+ nimeitwa kwenye hukumu;

  • Waefeso 6:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Pia, msali kwa ajili yangu, kwamba ninapofungua kinywa changu nipewe maneno, ili niweze kuzungumza kwa ujasiri ninapojulisha siri takatifu ya habari njema,+ 20 ambayo kwa ajili yake ninatenda kama balozi+ aliyefungwa minyororo, na kwamba niweze kuzungumza kuihusu kwa ujasiri, kama ninavyopaswa kuzungumza.

  • 2 Timotheo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Bwana na aionyeshe rehema nyumba ya Onesiforo,+ kwa maana aliniburudisha mara nyingi, naye hakuaibika kwa sababu ya minyororo yangu ya gereza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki