Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 13:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Kwa hiyo, acheni ijulikane kwenu, akina ndugu, kwamba kupitia mtu huyo mnatangaziwa msamaha wa dhambi,+ 39 na kwamba mambo yote ambayo hamngetangazwa kuwa bila hatia kulingana na Sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kupitia mtu huyu.+

  • Waefeso 2:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, ninyi mmeokolewa kupitia imani,+ na si ninyi mliofanya hivyo; badala yake, ni zawadi ya Mungu. 9 Hapana, si kutokana na matendo,+ ili mtu yeyote asiwe na sababu za kujisifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki