Waroma 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndiyo sababu ni kupitia imani, ili iwe kulingana na fadhili zisizostahiliwa,+ kusudi ahadi iwe hakika kwa uzao wake* wote,+ si kwa wale tu wanaoshika Sheria, bali pia kwa wale wanaoshika imani ya Abrahamu, ambaye ni baba yetu sote.+ Wagalatia 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Bila shaka mnajua kwamba wale wanaoshikamana na imani ni wana wa Abrahamu.+
16 Ndiyo sababu ni kupitia imani, ili iwe kulingana na fadhili zisizostahiliwa,+ kusudi ahadi iwe hakika kwa uzao wake* wote,+ si kwa wale tu wanaoshika Sheria, bali pia kwa wale wanaoshika imani ya Abrahamu, ambaye ni baba yetu sote.+