20 Kwa hiyo, hakuna mtu yeyote atakayetangazwa* kuwa mwadilifu mbele zake kupitia matendo ya sheria,+ kwa maana kupitia sheria tunapata ujuzi sahihi kuhusu dhambi.+
7 Basi ikiwa sheria zinazotoa kifo ambazo zilichongwa kwa herufi kwenye mawe+ zilikuja kwa utukufu kama huo hivi kwamba wana wa Israeli hawakuweza kuutazama uso wa Musa kwa sababu ya utukufu wa uso wake,+ utukufu ambao ungekuja kuondolewa,