Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yeye pia ametia muhuri wake juu yetu+ naye ametupatia rehani ya kile kitakachokuja,* yaani, roho,+ katika mioyo yetu.

  • Wagalatia 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa kwa sababu ninyi ni wana, Mungu ametuma roho+ ya Mwana wake ndani ya mioyo yetu,+ nayo hupaza sauti: “Abba,* Baba!”+

  • Waefeso 1:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini ninyi pia mlimtumaini baada ya kulisikia neno la kweli, habari njema kuhusu wokovu wenu. Baada ya kuamini, mlitiwa muhuri+ kupitia kwake kwa roho takatifu iliyoahidiwa, 14 ambayo ni rehani ya mapema* ya urithi wetu,+ kwa kusudi la kuachilia huru mali ya Mungu mwenyewe+ kupitia fidia,+ kwa sifa yake yenye utukufu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki