Isaya 53:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu ya mateso* yake, ataona na kuridhika. Kupitia ujuzi wake, yule mwadilifu, mtumishi wangu,+Atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu,+Na dhambi zao atazibeba.+ Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+
11 Kwa sababu ya mateso* yake, ataona na kuridhika. Kupitia ujuzi wake, yule mwadilifu, mtumishi wangu,+Atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu,+Na dhambi zao atazibeba.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+