12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia dhambi,+ basi kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.
14 Hata hivyo, kifo kilitawala kama mfalme tangu Adamu mpaka Musa, hata juu ya wale ambao hawakuwa wamefanya dhambi kama vile Adamu alivyofanya kosa, ambaye ni mfano wa yule aliyepaswa kuja.+