Matendo 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mungu wa mababu zetu alimfufua Yesu, ambaye ninyi mlimuua, kwa kumtundika kwenye mti.+ 2 Wakorintho 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye alikufa kwa ajili ya wote ili wale wanaoishi wasiishi tena kwa ajili yao wenyewe,+ bali kwa ajili ya yule aliyekufa kwa ajili yao na kufufuliwa.
15 Naye alikufa kwa ajili ya wote ili wale wanaoishi wasiishi tena kwa ajili yao wenyewe,+ bali kwa ajili ya yule aliyekufa kwa ajili yao na kufufuliwa.