Yakobo 1:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini kila mtu hujaribiwa kwa kuvutwa na kushawishiwa* na tamaa yake mwenyewe.+ 15 Kisha tamaa, wakati imetunga mimba, huzaa dhambi; nayo dhambi, baada ya kufanywa, huleta kifo.+
14 Lakini kila mtu hujaribiwa kwa kuvutwa na kushawishiwa* na tamaa yake mwenyewe.+ 15 Kisha tamaa, wakati imetunga mimba, huzaa dhambi; nayo dhambi, baada ya kufanywa, huleta kifo.+