Kumbukumbu la Torati 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ni taifa gani kubwa ambalo lina masharti ya uadilifu na sheria* kama Sheria hii yote ninayoweka mbele yenu leo?+ Zaburi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+
8 Na ni taifa gani kubwa ambalo lina masharti ya uadilifu na sheria* kama Sheria hii yote ninayoweka mbele yenu leo?+
8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+