1 Wakorintho 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Mungu ameyafunua kwetu+ kupitia roho yake,+ kwa maana roho huchunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito* ya Mungu.+ 1 Wakorintho 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi, sisi hatukupokea roho ya ulimwengu, bali tulipokea roho inayotoka kwa Mungu,+ ili tuyajue mambo ambayo Mungu ametupatia kwa fadhili. 2 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye pia ametia muhuri wake juu yetu+ naye ametupatia rehani ya kile kitakachokuja,* yaani, roho,+ katika mioyo yetu.
10 Kwa maana Mungu ameyafunua kwetu+ kupitia roho yake,+ kwa maana roho huchunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito* ya Mungu.+
12 Basi, sisi hatukupokea roho ya ulimwengu, bali tulipokea roho inayotoka kwa Mungu,+ ili tuyajue mambo ambayo Mungu ametupatia kwa fadhili.
22 Yeye pia ametia muhuri wake juu yetu+ naye ametupatia rehani ya kile kitakachokuja,* yaani, roho,+ katika mioyo yetu.