5 Kwa maana tunajua kwamba nyumba yetu ya kidunia, hema hili, likiharibiwa,+ tutapata jengo kutoka kwa Mungu, nyumba ya milele mbinguni, ambayo haijajengwa kwa mikono.+ 2 Kwa maana tunaugua kwelikweli katika nyumba hii, tukitamani sana kuvaa ile yetu kutoka mbinguni,+