Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 15:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Lakini ninawaambia hivi, akina ndugu, kwamba nyama na damu haviwezi kuurithi Ufalme wa Mungu, wala uharibifu haurithi kutoweza kuharibika.

  • Wafilipi 3:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini uraia wetu+ uko mbinguni,+ nasi tunamsubiri kwa hamu mwokozi kutoka huko, Bwana Yesu Kristo,+ 21 ambaye ataugeuza mwili wetu wa hali ya chini uwe kama* mwili wake wenye utukufu+ kwa nguvu zake nyingi zinazomwezesha kuvitiisha vitu vyote kwake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki