1 Wakorintho 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ili msipungukiwe hata kidogo katika zawadi yoyote, huku mkisubiri kwa hamu ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo.+ 1 Wathesalonike 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na kumsubiri Mwana wake aje kutoka mbinguni,+ ambaye alifufuliwa kutoka kwa wafu, yaani, Yesu, anayetukomboa kutoka kwenye ghadhabu inayokuja.+ Tito 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 huku tukingojea tumaini lenye furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Yesu Kristo, Waebrania 9:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili atakapotokea itakuwa bila dhambi,* naye ataonwa na wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+
7 ili msipungukiwe hata kidogo katika zawadi yoyote, huku mkisubiri kwa hamu ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo.+
10 na kumsubiri Mwana wake aje kutoka mbinguni,+ ambaye alifufuliwa kutoka kwa wafu, yaani, Yesu, anayetukomboa kutoka kwenye ghadhabu inayokuja.+
13 huku tukingojea tumaini lenye furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Yesu Kristo,
28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili atakapotokea itakuwa bila dhambi,* naye ataonwa na wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+