23 Si hilo tu, bali sisi wenyewe pia tulio na matunda ya kwanza, yaani, ile roho, ndiyo, sisi wenyewe tunaugua ndani yetu wenyewe,+ huku tukingojea kwa hamu kufanywa kuwa wana,+ kuachiliwa huru kutoka kwenye miili yetu kupitia fidia.
48 Kama yule aliyeumbwa kwa mavumbi, ndivyo walivyo pia wale walioumbwa kwa mavumbi; na kama alivyo yule wa mbinguni, ndivyo walivyo pia wale wa mbinguni.+49 Na kama vile ambavyo tumeuchukua mfano wa yule aliyeumbwa kwa mavumbi,+ vivyo hivyo pia tutauchukua mfano wa yule wa mbinguni.+