Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 13:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Kwa hiyo, acheni ijulikane kwenu, akina ndugu, kwamba kupitia mtu huyo mnatangaziwa msamaha wa dhambi,+ 39 na kwamba mambo yote ambayo hamngetangazwa kuwa bila hatia kulingana na Sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kupitia mtu huyu.+

  • Waebrania 10:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Hili ndilo agano nitakalofanya pamoja nao baada ya siku hizo,’ asema Yehova.* ‘Nitazitia sheria zangu katika mioyo yao, nami nitaziandika katika akili zao.’”+ 17 Kisha inasema: “Nami sitazikumbuka tena dhambi zao na matendo yao ya kuasi sheria.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki