Mwanzo 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo mmoja wao akasema: “Kwa hakika nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na tazama! mke wako Sara atakuwa na mwana.”+ Sasa Sara alikuwa akisikiliza kwenye mlango wa hema uliokuwa nyuma ya mtu huyo. Mwanzo 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, kuna jambo lolote lisilowezekana kwa Yehova?+ Nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na Sara atakuwa na mwana.”
10 Kwa hiyo mmoja wao akasema: “Kwa hakika nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na tazama! mke wako Sara atakuwa na mwana.”+ Sasa Sara alikuwa akisikiliza kwenye mlango wa hema uliokuwa nyuma ya mtu huyo.
14 Je, kuna jambo lolote lisilowezekana kwa Yehova?+ Nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na Sara atakuwa na mwana.”