4 Hata hivyo, fadhili za Mwokozi wetu, Mungu,+ na upendo wake kwa wanadamu ulipofunuliwa, 5 (si kwa sababu ya matendo yoyote ya uadilifu tuliyokuwa tumefanya,+ bali kwa sababu ya rehema yake),+ alituokoa kupitia kuoshwa kulikotuleta kwenye uzima,+ na kwa kutufanya wapya kupitia roho takatifu.+