Methali 25:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ikiwa adui yako* ana njaa, mpe mkate ale;Ikiwa ana kiu, mpe maji anywe,+22 Kwa maana utakuwa unakusanya makaa ya mawe yanayowaka juu ya kichwa chake,*+Na Yehova atakuthawabisha.
21 Ikiwa adui yako* ana njaa, mpe mkate ale;Ikiwa ana kiu, mpe maji anywe,+22 Kwa maana utakuwa unakusanya makaa ya mawe yanayowaka juu ya kichwa chake,*+Na Yehova atakuthawabisha.