Luka 21:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Basi, endeleeni kukesha+ sikuzote mkiomba dua+ ili mfanikiwe kuponyoka mambo yote hayo ambayo lazima yatukie, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+ 1 Wathesalonike 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi, tusiendelee kulala usingizi kama wengine wanavyofanya,+ bali tukae macho+ na kutunza akili zetu.+
36 Basi, endeleeni kukesha+ sikuzote mkiomba dua+ ili mfanikiwe kuponyoka mambo yote hayo ambayo lazima yatukie, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+
6 Basi, tusiendelee kulala usingizi kama wengine wanavyofanya,+ bali tukae macho+ na kutunza akili zetu.+