Waroma 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi, sisi tulio na nguvu tunapaswa kubeba udhaifu wa wale wasio na nguvu,+ na tusiwe tukijipendeza wenyewe.+ 1 Wathesalonike 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza akina ndugu, waonyeni* wale wasiofuata utaratibu,+ wafarijini wale walioshuka moyo,* wasaidieni walio dhaifu, iweni na subira kwa watu wote.+
15 Basi, sisi tulio na nguvu tunapaswa kubeba udhaifu wa wale wasio na nguvu,+ na tusiwe tukijipendeza wenyewe.+
14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza akina ndugu, waonyeni* wale wasiofuata utaratibu,+ wafarijini wale walioshuka moyo,* wasaidieni walio dhaifu, iweni na subira kwa watu wote.+