Waroma 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mkaribisheni mtu aliye na udhaifu katika imani yake,+ lakini msihukumu kuhusu maoni yanayotofautiana.* 1 Wathesalonike 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza akina ndugu, waonyeni* wale wasiofuata utaratibu,+ wafarijini wale walioshuka moyo,* wasaidieni walio dhaifu, iweni na subira kwa watu wote.+
14 Mkaribisheni mtu aliye na udhaifu katika imani yake,+ lakini msihukumu kuhusu maoni yanayotofautiana.*
14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza akina ndugu, waonyeni* wale wasiofuata utaratibu,+ wafarijini wale walioshuka moyo,* wasaidieni walio dhaifu, iweni na subira kwa watu wote.+