Methali 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni nani anayeweza kusema: “Nimeusafisha moyo wangu;+Mimi ni safi kutokana na dhambi yangu”?+ Mhubiri 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana hakuna mtu mwadilifu duniani anayefanya mema sikuzote na hatendi dhambi kamwe.+