Waroma 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa kuwa wote waliofanya dhambi bila sheria wataangamia pia bila sheria;+ bali wote waliofanya dhambi chini ya sheria watahukumiwa kwa sheria.+ Waroma 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana dhambi ilikuwa katika ulimwengu kabla ya Sheria, lakini mtu yeyote hahesabiwi kuwa na dhambi ikiwa hakuna sheria.+ Wagalatia 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wote wanaotegemea matendo ya sheria wako chini ya laana, kwa maana imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha Sheria kwa kuyatenda.”+
12 Kwa kuwa wote waliofanya dhambi bila sheria wataangamia pia bila sheria;+ bali wote waliofanya dhambi chini ya sheria watahukumiwa kwa sheria.+
13 Kwa maana dhambi ilikuwa katika ulimwengu kabla ya Sheria, lakini mtu yeyote hahesabiwi kuwa na dhambi ikiwa hakuna sheria.+
10 Wote wanaotegemea matendo ya sheria wako chini ya laana, kwa maana imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha Sheria kwa kuyatenda.”+