20 “Ninaomba si kwa ajili ya hawa tu, bali pia wale wanaoniamini kupitia neno lao, 21 ili wote wawe kitu kimoja,+ kama vile ambavyo wewe Baba umo katika muungano nami, nami nimo katika muungano nawe,+ ili wao pia wawe katika muungano nasi, ili ulimwengu uamini kwamba ulinituma.