Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana mtu mmoja hupewa maneno ya* hekima kupitia roho, mwingine maneno ya ujuzi kulingana na roho ileile,

  • 1 Wakorintho 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 naye mwingine hupewa utendaji wa matendo yenye nguvu,+ mwingine kutoa unabii, mwingine utambuzi wa maneno yaliyoongozwa na roho,+ mwingine lugha* mbalimbali,+ na mwingine fasiri ya lugha.+

  • 1 Wakorintho 14:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha,+ lakini ninapendelea zaidi mtoe unabii.+ Kwa kweli, yule anayetoa unabii ni mkubwa kuliko yule anayezungumza kwa lugha, isipokuwa afasiri* kwa ajili ya kutaniko ili lijengwe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki