Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoeli 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha nitaimimina roho yangu+ juu ya kila aina ya mwili,

      Na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii,

      Na wanaume wenu wazee wataota ndoto,

      Na wanaume wenu vijana wataona maono.+

  • Matendo 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ‘“Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu juu ya kila aina ya mwili, na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii, nao wanaume wenu vijana wataona maono, na wanaume wenu wazee wataota ndoto,+

  • Matendo 21:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Siku iliyofuata tukaondoka na kufika Kaisaria, tukaingia katika nyumba ya Filipo mweneza-injili, aliyekuwa mmoja wa wale wanaume saba,+ nasi tukakaa pamoja naye. 9 Mtu huyo alikuwa na binti wanne ambao hawakuwa wameolewa,* nao walitoa unabii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki