Isaya 28:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana atazungumza na watu hawa kupitia watu wenye kigugumizi* na kwa lugha ya kigeni.+ 12 Alikuwa amewaambia: “Hapa ndipo mahali pa kupumzika. Yule aliyechoka na apumzike; hapa ndipo mahali pa kuburudika,” lakini walikataa kusikiliza.+
11 Kwa maana atazungumza na watu hawa kupitia watu wenye kigugumizi* na kwa lugha ya kigeni.+ 12 Alikuwa amewaambia: “Hapa ndipo mahali pa kupumzika. Yule aliyechoka na apumzike; hapa ndipo mahali pa kuburudika,” lakini walikataa kusikiliza.+