49 “Yehova ataleta dhidi yenu taifa la mbali,+ kutoka mwisho wa dunia; litawarukia kama tai,+ taifa ambalo hamtaelewa lugha yake,+50 taifa lenye uso mkali ambalo haliwajali wazee wala kuwahurumia vijana.+
21 Katika Sheria imeandikwa: “‘Nitazungumza na watu hawa kwa lugha za watu wa kigeni na kwa midomo ya wageni, na hata wakati huo watakataa kunisikiliza,’ asema Yehova.”*+