Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana ‘ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova,+

      ‘Nao watakuja; kila mmoja ataweka kiti chake cha ufalme

      Kwenye malango ya Yerusalemu,+

      Dhidi ya kuta zake pande zote

      Na dhidi ya majiji yote ya Yuda.+

  • Yeremia 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Tangazeni jambo hilo, naam, kwa mataifa;

      Litangazeni dhidi ya Yerusalemu.”

      “Walinzi* wanakuja kutoka nchi ya mbali,

      Nao watapaza sauti zao dhidi ya majiji ya Yuda.

  • Yeremia 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 ninaziita familia zote za kaskazini,”+ asema Yehova, “ninamwita Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, mtumishi wangu,+ nami nitawaleta dhidi ya nchi hii+ na dhidi ya wakaaji wake na dhidi ya mataifa haya yote yanayozunguka.+ Nitawaangamiza na kuwafanya kuwa kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi na magofu ya kudumu.

  • Ezekieli 7:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nami nitaingiza mataifa mabaya kabisa,+ nayo yatamiliki nyumba zao,+ nami nitakikomesha kiburi cha wenye nguvu, na mahali pao patakatifu patatiwa unajisi.+

  • Habakuki 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana tazama, ninawainua Wakaldayo,+

      Taifa katili na linalotenda haraka-haraka,

      Wanasambaa upesi katika maeneo makubwa sana ya dunia

      Ili wachukue kwa nguvu makao ambayo si yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki