Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+

  • Isaya 47:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+

      Niliutia unajisi urithi wangu,+

      Nami nikawatia mkononi mwako.+

      Lakini hukuwaonyesha rehema.+

      Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+

  • Luka 19:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako walio ndani yako,+ nao hawataacha jiwe juu ya jiwe lingine,+ kwa sababu hukutambua wakati wa kukaguliwa kwako.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki