Isaya 53:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye alipewa kaburi* pamoja na waovu,+Na pamoja na matajiri* katika kifo chake,+Ingawa hakuwa amefanya kosa*Na hakukuwa na udanganyifu kinywani mwake.+ Mathayo 27:59, 60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Yosefu akauchukua mwili huo, akaufunga kwa kitani bora kilicho safi,+ 60 akaulaza katika kaburi lake jipya,*+ alilokuwa amechimba katika mwamba. Kisha akaviringisha jiwe kubwa kwenye mwingilio wa lile kaburi,* akaondoka.
9 Naye alipewa kaburi* pamoja na waovu,+Na pamoja na matajiri* katika kifo chake,+Ingawa hakuwa amefanya kosa*Na hakukuwa na udanganyifu kinywani mwake.+
59 Yosefu akauchukua mwili huo, akaufunga kwa kitani bora kilicho safi,+ 60 akaulaza katika kaburi lake jipya,*+ alilokuwa amechimba katika mwamba. Kisha akaviringisha jiwe kubwa kwenye mwingilio wa lile kaburi,* akaondoka.