3 Akiwa safarini karibu kufika Damasko, ghafla nuru kutoka mbinguni ikamulika kumzunguka,+ 4 naye akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: “Sauli, Sauli, kwa nini unanitesa?” 5 Akauliza: “Wewe ni nani Bwana?” Akajibu: “Mimi ni Yesu,+ ambaye unamtesa.+