12 Basi Sheria yenyewe ni takatifu, na amri ni takatifu na yenye uadilifu na ni njema.+
13 Kwa hiyo, je, lililo jema lilinisababishia kifo? La hasha! Lakini dhambi ilifanya hivyo, ili ionyeshwe kuwa dhambi ndiyo inayoniletea kifo kupitia lile lililo jema,+ ili kupitia amri dhambi iwe mbaya zaidi.+