Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini ninyi, iweni imara na msivunjike moyo,*+ kwa maana mtapata thawabu kwa ajili ya kazi yenu.”

  • 1 Wakorintho 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi anayepanda na anayetia maji ni kitu kimoja,* lakini kila mtu atapokea thawabu yake kulingana na kazi yake mwenyewe.+

  • Ufunuo 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wenye furaha ni wafu wanaokufa katika muungano na Bwana+ tangu wakati huu na kuendelea. Ndiyo, roho inasema, acheni wapumzike kutokana na kazi yao ngumu, kwa maana mambo waliyotenda yanaambatana nao moja kwa moja.”*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki