-
Ufunuo 14:13Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
13 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema: “Andika: Wenye furaha ni wafu wafao katika muungano na Bwana tangu wakati huu na kuendelea. Ndiyo, yasema roho, acheni wapumzike kutokana na kazi zao za jasho, kwa maana mambo waliyotenda yaenda yakiambatana nao moja kwa moja.”
-